Sunday, June 14, 2015

Shaarawy anataka kuondoka katika club ya AC Milan.

Midfielder wa club ya AC Milan, Stephan El Shaarawy, ambaye alisajiliwa na AC Milan mwaka 2014 na kuweza kucheza katika club hiyo kwa msimu mzima wa 2014/2015 ambapo AC Milan haikuwa katika kiwango kizuri na kumaliza ligi kuu ya Italy katika nafasi ya tisa huku wakifuatiwa na majirani wao Intermilan ambayo ilimaliza ligi kwa kubaki nafasi ya kumi.

Kwa msimu uliomalizika vilabu hivi vikubwa nchini Italy na hata kwa bala la ulaya, vilabu hivi havikuwa na msimu mzuri katika ligi kuu nchini Italy baada ya kuweza kumaliza ligi katika nafasi mbaya. Club ya AC milan yenyewe haikuwa na msimu mzuri kwasababu ya matatizo mbalimbali yaliyoikumba club hiyo.

Mbali na hayo, mchezaji wa club ya AC Milan, Stephan El Shaarawy amesema kwamba anahitaji kuondoka katika club hiyo na hivyo kwenda kutafuta club niyngine ya kucheza.

No comments:

Post a Comment