Memphis Depay ambaye alikuwa akiichezea club ya PSV na timu ya taifa ya Uholanzi kwa sasa atakuwa akicheza katika club ya Manchester United ya nchini Uingereza.
Memphis Depay ambaye amesainiwa na Manchester United hii leo akiwa na Manager wa Manchester Umnited Luis Van Ghal (LVG).


No comments:
Post a Comment