Wednesday, June 17, 2015

Hii ndiyo Fixture mpya ya English Premier League msimu wa 2015/2016.

Shirikisho la mpira wa miguu nchini Uingereza, FA ikishirikiana na wadhamini wa ligi hiyo bank ya Barclay's leo hii imetangaza ratiba ya mechi za ligi kuu nchuni Uingereza ikiwa pamoja na Fixture ya mechi za mwanzo wa ligi.

Fixture ya English Premier League ilitangazwa leo tarehe 17 june majira ya saa 3 asubuhi kwa saa za Afrika mashariki. Fixture hiyo ambayo pia inaonyesha timu ambazo zimepanda daraja msimu huu ambazo ni Watford FC, Norwich City na AFC Bounermouth ndizo zilizopanda daraja msimu huu.

Hizi ndiyo Fixture ya mechi za mwanzo wa ligi kuu nchini Uingereza itakayoanza kutimua vumbi katika mwezi wa August 2015.

No comments:

Post a Comment